iqna

IQNA

Zainab Soleimani
TEHRAN (IQNA) -Bintiye Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani zifahamu kuwa, kuuawa shahidi baba yake kutibua mwamko mkubwa na kuimarisha harakati za mapambano au muqawama katika eneo.
Habari ID: 3472342    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/06